ARIS UDSM - Mfumo wa Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

aris udsm


ARIS UDSM – (Academic Registration Information System of University of Dar es Salaam) ni mfumo wa wanafunzi unaoshikilia taarifa zote zinazohusiana na wanafunzi pamoja na masomo yao katika Chuo Kikuu cha Dar es Salaam

ARIS UDSM inawaruhusu walimu na wanafunzi ku-manage kazi zao katika mtandao

ARIS UDSM inafanya kazi gani?

  • Wanafunzi
    • Kusajili kozi katika mtandao
    • Kuangalia coursework
    • Kuangalia maendeleo ya kozi na matokeo
    • Notes na material mengine kwa ajili ya kozi
    • Ku-confirm mahafali
    • Ku-edit taarifa zao
    • Malipo
  • Walimu
    • Kuangalia idadi ya wanafunzia katika kozi
    • Kuchapisha coursework
    • Kuchapisha matokeo ya kozi
    • Kufuatilia maendeleo ya wanafunzi

Kwa ajili ya wanafunzi tu

Wanafunzi wanatakiwa kutumia  Registration numba kama username na jina la ukoo kwa herufi kubwa kama neno la siri(password)

Unashauriwa kubadilisha neno la siri punde tu utakapofanikiwa ku-login kwa mara ya kwanza na uhakikishe unakumbuka neno hilo kwa wakati wote utakaotumia SR

Ingia ARIS UDSM

Comments

Popular posts from this blog

Chuo cha Mipango Dodoma - Institute of Rural Development Planning (IRDP)

Chuo cha Madini Dodoma - Mineral Resource Institute ( MRI- Dodoma )

UDOM SR - Mfumo wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma