UDOM SR - Mfumo wa wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma

udom sr


Udom Sr – (The University of Dodoma Students Records Management System) ni mfumo wa wanafunzi unaoshikilia taarifa zote zinazohusiana na wanafunzi pamoja na masomo yao katika Chuo Kikuu cha Dodoma

Udom Sr inawaruhusu walimu na wanafunzi ku-manage kazi zao katika mtandao

Udom Sr inafanya kazi gani?

  • Wanafunzi
    • Kusajili kozi katika mtandao
    • Kuangalia coursework
    • Kuangalia maendeleo ya kozi na matokeo
    • Notes na material mengine kwa ajili ya kozi
    • Ku-confirm mahafali
    • Ku-edit taarifa zao
    • Malipo
  • Walimu
    • Kuangalia idadi ya wanafunzia katika kozi
    • Kuchapisha coursework
    • Kuchapisha matokeo ya kozi
    • Kufuatilia maendeleo ya wanafunzi

Kwa ajili ya wanafunzi tu

Wanafunzi wanatakiwa kutumia  Registration numba kama username na jina la ukoo kwa herufi kubwa kama neno la siri(password)

Unashauriwa kubadilisha neno la siri punde tu utakapofanikiwa ku-login kwa mara ya kwanza na uhakikishe unakumbuka neno hilo kwa wakati wote utakaotumia SR

Ingia UDOM SR

Comments

Post a Comment

Popular posts from this blog

Chuo cha Mipango Dodoma - Institute of Rural Development Planning (IRDP)

Chuo cha Madini Dodoma - Mineral Resource Institute ( MRI- Dodoma )